Kama ulikua miongoni mwa wanaotamani kumsikia au kufahamu shughuli anazofanya kwa sana Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, taarifa ikufikie kwamba AyoTV imemtembelea Msoga na akatuonyesha anachofanya.
@senatormatemu55807 years agoOne of the best video clips, inspirational moveformer president jk kikwete. 13
@
@chipatv6777 years agoMstaafu jk nakukubali sana. Like hapa km unampenda jk. 99
@
@mtanzaniamzalendo70017 years agoMzee wa msoga hongera sanaa, u na busara sanaa wewe mzee. Mungu akupe maisha marefu. 17
@
@canoksancomprehensivelearn71827 years agoCongratulation the former president j. K. I miss you a lot. May god bless you. You encourage us to work hard as farmers. We try to do at our best effort may be one day we can reach the goal. 3
@
@migogelemkude74155 years agoHongera mzee utazidi kupendwa daima allah akulinde akulipe ulitutumikia sema asante sana. 12
@
@renaldakamugishazeramulake9407 years agoHuyu baba mpole, mkalimu, ana huruma, ana subira yaani anaweza kutembea kwa mguu usiku kucha bila bodigadi, anaweza kulala nje ya nyumba miaka hata 50. ...Expand26
@
@mugenyagakala33507 years agoMaisha bora kwa kila mtz. Hongera jembe. 15
@
@joelp.gideon90034 years agoYoure my favorite, my father, and my president ever. I wont grow weary missing you daddy. You always touch my personality. Youre the superior one i id="hidden3" have never seen. Myof you wont end to death, youre the father of kigoma people to date. praying for success in everything that your hands touch. miss your sir!. ...Expand1
@
@gracekulaba70156 years agoHongera sana jk. You will always inspire many of us. 8
@
@josephgomalo417 years agoNitajitahidi na mimi nifikie hapo. Asante sana mzee kikwete. You practically bring me back to bagamoyo secondary. Agriculture class. 10
@
@romanus97006 years agoSafi sana, i am from kenya and i like tanzanian leaders from nyerere, mwinyi makapa, kikwete to magufuli. Great leader' s. 13
@
@agneserasto98065 years agoAfi sana raid, wetu mstafu, kwa kazi njems ya hufugaji, tutajifunza kutoka kwako, 6
@
@stewartmillanzi71987 years agoHongera sana mkuu. Wewe ndo mfano bora wa kiongozi mvumilivu unayejitambua na kufanya mambo kama mtu mzima. Hongera kwa kuwa msuluhishi mzuri. Wenzako. ...Expand3
@
@jimmyjohn81846 years agoSafi sana mzee wetu, vijana tupo nyama tunasubiria baba usafishe njia nasi tupite kwa wepesi. Mungu akufanyie wepesi na kukuhifadhi miaka mingi zaidi. 2
@
@alquinmadoro57677 years agoHongera Sana mkuu Wewe ni mfano WA kuigwa ,yan daaah Much respect kwako president 32
@
@abeidmayanga8097 years agoMwanasiasa mwenyesiasa zake we miss u mheshimiwa jk. 16
@
@moviesandinfotv99335 years agoNaomba kaz ya kukamua maziwa mzee wetu nakupenda mstaarab sana. 7
@
@bertinsayumwe66216 years agoWe miss you our lovely dad mungu akupe maisha marefu. 1
@
@fransicochunji3276 years agoMungu akuinueyako imeonekana, ndo maana tanzania iko hapa. 1
@
@gregorymmasi34426 years agoMiss u sana mzee wetu. Hope one day nitakuona. Busara kubwa. Appreciated sana live long mzee jm kikwete. 1
@
@flyhigher53937 years agoMzee huyu ana hekima sabaa, mwnyez mung ampe maisha marefu. Amin. 24
@
@hosearwechungura71647 years agoTunakupenda sana mhe. Jk, obama wa tanzania! 6
@
@abdallahmashua72347 years agoSafi sana kiongozi, naona unazidi kutuongoza kwenye ujasiriamali. 7
@
@nkeshgomegwa16774 years agoDuh nafurahi sana nikikuona baba mwenyezi mungu akujaalie maisha marefu.
@
@jamesjoseph44607 years agoNimeipenda hiyo mkuu kwakweli ninahitaji elimu hiyo ya ufugaji wa ngombe wa maziwa, na kilimo. Mungu akubariki elimu hiyo itufikie na huku kahama, asante sana. 1
@
@michaelchongolo13167 years agoNakupenda sana mze wangu jk haya ndo maisha yetu. 5
@
@NashonMbumba57 years agoHongera rais mstaaf. Hiyo n kazi njema. 1
@
@adamgeorge55327 years agoNice sana baba your good example for people. 2
@
@jumamataro48702 years agoJakaya poa sana watanzania tunakutakia maisha malefu mbele za mungu.
@
@kibondeezekiel44597 years agoAyo tv nawakubali sana. Hiyo ilikiwa bonge laex-president is so inspirational! 1
@
@marymichelle62805 years agoVery inspiring interview, hongera sana mheshimiwa raisi mstaafu.
@
@ismailramole17007 years agoDah. Kweli you will never know what you have until when you miss it. Now ndio najua umuhimu wa mzee wetu jk. He was a great leader wa mfano africa. God bless you and your family. 15
@
@abedkirway36405 years agoMwenyenz mungu akupe maisha marefu babaetu tunaekupenda jk rais wa mfano duniani.
@
@mosesndahani30495 years agoRais wetu unamoyo wa peke mungu akujalie maisha marefu. 1
@
@halimamlili88037 years agoTumekimis kwakweli baba yetu mung akupe maish malefu. 7
@
@maryamsinganomaryamsingano79387 years agoNimtu msitaalabu sana na mcheshi sana mungu akupe umri mrefu. 9
@yunushamis48395 years agoSafi sana unahekima, unajua kujibu dah! Wanaokutukana mungu anawaona akina msiba walaaniwe kabisa safi sana kwa darasa lako nimejifunza kitu kupitia majibu yako mazur.
@
@enockkitomarys49096 years agoNi juhudi nzuri mh jk mungu akupe maisha marefu.
@
@fransicochunji3276 years agoAsante mheshimiwa kwasomo lakilimo, kuna kitu kikubwa.
@
@wazirisaid83262 years agoHongera sana mheshimiwa jk. Unaonekana kijana na mwenye afya njema kuliko wakati ulee. Hii ni kwasababu huna roho mbaya wala chuki. Wewe ndio baba yetu. ...Expand
@
@esperancenathali4 years agoTanzania kila kiongozi anaye mnae mchagua huwa anajaa tabasamu na nyuso za ukarimu big up sana my country born. 1
@
@ramadhaniissa53705 years agoNakukubari kikwete we ninoma nakupenda we ni raisi bora kuliko maraisi wote thenk you mr plesdent. 1
@
@simonmacktauo65217 years agoI wish you were still our president. We miss you so much. So deep in agriculture mpaka unajua tissuesana nazichanga na mimi nije huko kupiga picha tuu. 2
@
@stephanomoses76942 years agoDr. Bna anaish maisha ya raha sana hana hata matambo yan.
@
@charlesmartin14487 years agoCongratulations my former president. That was good. 2
@
@sanaanimaisha40727 years agoTunakupenda sana mstaafu. hekima na busara zako hazina kipimo. wewe ni mfano wa kuigwa. 7
@
@yohananoah66287 years agoMzee hongera sana mh ila tatizo mtaji tu aidia nzuri. 2
@
@anthonyyalanda15404 years agoMkuu kikwete barikiwa sana, kilimo ni uhai wa maisha yababa.
@
@janebrighton73124 years agoAfter nyerere your the best too for me.
@
@agnesschengula59374 years agoHatataacha kukumbumbuka kwa memaakupe maisha marefu mheshimiwa.
@
@veronicadaniel11225 years agoNakupenda sana mzee wangu kwa hekima ulonayo.
@
@abedymigodela13145 years agoKwakweli kikwete ni mwisho wa maelezo aisee mungu akurinde mh. 1
@
@SensaManzagata-tv7ds5 months agoHongera sanaa rais msitafu wa awamu ya nne nimeisoma sana hiyo click yako ya kilimo na ufugaji uliyoitoa miaka wakati nikiwa form two ukiwa kwenye mazungumzo ya ayo tv.
@
@thomasraiton77607 years agoNakukubali sana rais mstaafu kupiga stori na vijana wako namna hii raha sana mkapa hawezi muda wote yeye ni utandawazi na siasa tu. 1
@
@chachayohana27177 years agoHakika umenihamasisha sana kiongozi, ili mtu ufanikiwe lazima uwe na mawazo mbandala na si kuangalia kwa macho yote kazi moja. Mungu akujaalie afya njema.
Related videos for EXCLUSIVE: AyoTV yamtembelea Mstaafu Kikwete nanenepa siku hizi, mlikua mnanifuja:
praying for success in everything that your hands touch.
miss your sir!. ...Expand 1
Wewe ni mfano WA kuigwa ,yan daaah
Much respect kwako president
32
hekima na busara zako hazina kipimo.
wewe ni mfano wa kuigwa. 7