Wafuasi wa CHADEMA waliofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kufatilia mwenendo wa kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe wamekamatwa na Askari Polisi baada ya kuinua mabango na kupiga kelele kwamba "Mbowe sio Gaidi".
Kesi ya Mbowe inasikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ambapo hata hivyo Mbowe hakufikishwa mahakamani bali kesi yake inaendeshwa kwa njia ya mtandao.
Mbowe ameshitakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu July 26, 2021 kwa mashtaka mawili ikiwemo la tuhuma za Ugaidi.
@richardtemeshe60413 years agoMm ni ccm in blood coz i get from my grand parent but 4 that issue of hornerable mbowe it was very big mistake for tz nawahakikishia serekali hii issue. ...Expand
@
@eliudijastini6453 years agoMama niko setro kituo cha polisi umefanyaje mwanangu nimekamatwa nimeandamana nyambafuu kaaukoukoo pumbavu kunaalie kutuma subiria mbowe aje kukutowa. 6
@
@mzalendomzalendo25673 years agoHawa nao wamekosa kazi, wanataka tuu kuonekana kwenye tv, 3
@
@estamunuo23863 years agoWalitumwa waje kituon naviongoz wao saa sjui kwann hao viongoz hawakuja wenyewe. 3
@
@magechuwa8043 years agoKamata wote maana wanafanya maksudi mazima. 1
@
@johnssaimon4503 years agoHivi hapa mbona siwaoni kina @jongwe @pmsigwa @ mdude. Hivi watanzania mnakwamawako wapi? 5
@
@kabwelasutiviraka47653 years agoJombaz na shangalishazi walikuwa wana mbeep mama na mama yuko vizuri, hawa takuwa hawana kazi au wamelipwa kuandamana tafuteni pesa. 3
@
@gjsjsjsjsjsjvsjjshhshsh46833 years agoAkiri za matope umetiwa ndani family yako iteseke. 4
@
@paulkisatulusana11423 years agoSafi sana polisi wanatangaziwa hakuna maandamano wao wanafanya, hata mbowe hawamjui vizuri naiombo polisi utowe ushahidi hadharani wa huo mimi namjua mbowe anafanya mambo ya ovyo sana ila anajifichia kwenye siasa. ...Expand
@
@theopisterrichard553 years agoWabongo wanatabu kweli mtu unaacha kazi zako unaenda andamana kwa ajili ya mtu ambae huna hata ukoo nae wabebeni tu kwa kweli. 4
@
@muhammedsuleyman65013 years agoBadala kufanya kazi mnaenda kuandamana, mtakula virungu. 3
@
@fabianmainchanyangachika50173 years agoSasa huko maabusu sio mkusanyiko na nlundikano?
@
@johnmalembo64643 years agoKwenye kukamatwa kila mmoja anajiokoa ki hekma ya mbinguni inahitajika sana. Eee mwenyezi mungu tubariki na kutuokoa watoto wa tz. 1
@
@amirikoshuma30393 years agoKwa sababu ya ugali wa my niende mahabusu uo ujinga bado sana. 3
@
@veronicasamson95263 years agoSis huku morogoro mjini tunashida ya maji hatar yan tangia tenesco kuungue had leo hatuna maji yan na huu ugonjwa wetu sindio itakua balaa. 1
@
@suleysafari35353 years agoKuna moja hapo amesema. Yailahi toba tayari nimekwisha. 4
@
@mustafaabdulshakur47133 years agoSasa wanakimbia nini wakati wamejitolea hahahaha. 3
@
@mtesigwalulale58673 years agoUkijitia upumbavu wa kusiasa kutumika kwa matumbo ya watu utanyea ndio. 5
@
@mamazaii64213 years agoHee! Maandamano jamani yameisha mara moja tu daah! Mb zangu sijaona vizuri. 1
@
@happinessmwenda27733 years agoNiliwahi kuona sinema ya sarafina ya sa nililia baadaye nikajipa moyo ni sinema tu. 4
@
@rasnchimbi3 years agoHii issue ni kama vile imetengenezwa hata walokamatwa wametengenezwa ili kutisha watuunaweza kutwa walipangwa. 5
@
@nyamangaking66083 years agoKwenda rahisi kutoka baada ya 10 years. 1
@
@whatisthetruth.87933 years agoYangu macho tuu na kucheka kwa sasa wangapi wamewana.
@
@bennpetter52493 years agoKuna mmoja nimemuona anatoka nduki huyo. 7
@
@aishatarimo67803 years agoMateso yakizidi sana jua freedom inakaribia polen sana mlio kaatwa.
@
@geofreysenka70913 years agoNchi toka aondoke magufuri imekuwa hovyo.
@
@joojombi23413 years agoWapumbavu wakubwa hao bhana kwani mbowe ndo nani ktk dunia wangapi wanapelekwa mahakamani hao ni kivuruge tu tzd. 5
@
@samorasilayo89243 years agoKutafuta haki lasima tujitolee ili wengine wapate haki watz tuamke. 2
@
@nassorseif45793 years agoHaya mambo tuliyamis kitambo bora yarudi kidogokidogo. 1
@
@sallahsultan24043 years agoMbele ya camera wanachkuliwa kistaarabu ngaja wafike heehee.
@
@zaitunibashiri99623 years agoMambo mengine bn me siyafanyi bora nkatafute ugali wang wa kila siku.
@
@magechuwa8043 years agoWanapewa tahadhari bado wanajiendea tu na kuambukizana korona. 1
@
@mzalendomzalendo25673 years agoMaskini wa akili hawa, mbona hatumuoni mtto wa mbowe front line. 8
@
@gracekagoma32313 years agoWashenzi hao. Fukuzilia mbali. Shika adabu. 2
@
@godwinmwakibibi2743 years agoWanataka kiki za ustaa wameshapata maan wameonekana kweny kioo tayar. 2
@
@beaugosseadam68313 years agoHaya mabarozi wa marekani, ubelijiji, ujerumani na taasisi zao waachane na matamko yao, waje wawatoe mikononi mwa polisi. Tuoni! Peter msigwa, heche, id="hidden5" fatma karume, sarungi na catherine mbona sijawaona wakiongoza maandamo?. ...Expand4
@
@learnselfdefense7653 years agoKweny bodi watulivu utadhani wanafanya utafiti wa ukimya wengine hawa amini kama ndo wamekamatwa sasa cjui family inakuwa imeachiwa matumizi kabisa au?
@
@charlesmihuwa62873 years agoKwa uwelewa wangu mdogo naona kama kweli unauchungu na mbowe ni sawa ila kama unampenda ki u kweli nenda mahakamani na ushahidi wako ili umtetete tu mimi naona aijakaa vizuri sana. Na njia ya mwongo waswahili walisema ni fupi lazima kweli hapo kuna shida kwa asilimia 100% kwa mbowe au serikari sasa wewe na mimi hatujui tuache wenye ushahidi tuone. Ukiumizwa mfano hapo ndio itasaidia nini? Mbowe kuachiwa au?. ...Expand6
@
@suleysafari35353 years agoUnakamatwa halafu kumbe kesho yake ulikuwa na dili la pesa nono. Huu ni uwehu kabisa. Mteseke nyie wachache wawili wajaze matumbo yao. 4
@
@timboxlee9193 years agoAskari piga hao wazulaji, hawana kazi ya kufanya. 1
@
@chondebabatz54773 years agoYani police maboyaa kwelii yan sasa hao wamefanya nini machoko kweli. 1
@
@suleimansalim71943 years agoTatizo la polisi wa tanzania hawana kazi xa kufanya. 1
@
@d.a.t33833 years agoHivi ma polisi wote ni ccm hakuna wa chadema cuf na a vyama vingine tuu. 1
@khamisimashaka423 years agoYaan kam amjui walio kamatwa nia askari wenzao wanajifany chadema ila we boys uingie wakule kichwa hahaah tumestuka hamtupati.
@
@SamsungGalaxy-kx2zj3 years agoHakika tunalishukuru jeshi la police kutuliza fujo ya walala hoi.
@
@siginganzi3963 years agoYaan tangu manara aikane simba simwamini mtu, saiv natafta ela nile na mke wangu nawatoto, uko chadema au ccm nawaachia mbowe na samia, atakae kuwa raisi. ...Expand11
@
@upendonzovu20273 years agoBora aliyekimbiaga tanzania akaenda zake nje. Hv kila wkt kutafuta bifu na serikali ndo nn.
@
@cheiknamouna20583 years agoWale mnaolia mara tozo mara chanjo hamtaki mara mikataba inasainiwa ovyo ndo nyie mnawachekelea wenzeni wanaomtetea mtu wao tambueni haya maisha ni gwaride tu.
@
@selemankishema57803 years agoPolice tembeza kichapo kwa wapuuzi hao. 2
@
@iginaswida88733 years agoMboe siogaidi serekari namaakama imuachie huru. 1
@
@suleimanmohd.71973 years agoAskari wamekuwa na maadili sasa asante mama mana hakuna aliepigwa wala kubebwa na kuburuzwa.
@
@shanelisessoa51973 years agoKwasasa inatakiwa kufanya maamuzi magum zaidi dhidi ya. 1
@
@mnubimnubi40813 years agoPolisi nanyi mnaboa hata kuwapiga kidogo watu wamekatazwa wanakuja si wamejitakia hao piga.
@
@jonasmaganga74333 years agoKazanen kuandamana mi majukum ya kifamilia yananikabili nawaza nitokaje siyo nipigwe kwa ajil ya tumbo la mtu nilikuwa mkeleketwa sana wa cdm mwaka jana. ...Expand
@
@gideontebuye53293 years agoNdoo mliyataka hayo, sasa ambao wako uberigiji wanawatoaje hapo? Na familia zenu vip, acheni ujinga mkionywa muwe wasikivu.
@
@nassoropigauwa25033 years agoIi ni dunia uonevu uu ipo siku mtaulipia nyie askar wat hawana uhuru haki ipo wap nn maana ya uhuru au ni ushenzi tu.
@
@victorkivuyo61263 years agoUkishaonywa na mkuu wa usalama usiandamane wewe unaenda hicho ni kiburi waziri mkuu mstaafu alsema ukikaidi amri ya polisi ni kupigwa tu tena bahati yenu. ...Expand2
@
@dorahy15793 years agoMbona wanakimbia? Kwanza hapo ni watu njaa tupu wanasumbula bure mwisho washikwe ba corona bure. 2
@
@mjubachuga75603 years agoHawa ni chadema kwel mh, nna wasiwasi, mbona wanajiraisisha kupanda, et wanakimbia kulizungika gari then wanapanda wanaka kwenye kiti mh, tumezoe kuona. ...Expand
@
@mathayonyerera31443 years agoWw askari fikiria leo una nguvu kisa mshahara ukitumbuliwa unaanza kulia na ss! Na bado watu watakulipizia kisasi!
@
@afyachamber77053 years agoLeo unalala mahabusu kama unafamilia umeiacha hainauandamane analala kwenyekumkichwa.
@
@emmanueljoseph25763 years agoMmekosea mngekuwa na msimamo hapo ningewaelewa maaskari wana kuja wote mnasema miguu nisaidie si mngebaki tu wote pengine wangewaacha kama umeandam id="hidden13"ana bila uoga na unajua unaemtetea hana hatia why mkimbie wote mtakuja kufa bure kaani kwa kutulia hii inchi ina wenyewe sisi wanyonge ni kama panya tu mda wowote tinaliwa na paka. ...Expand7
@
@dynesssteve75323 years agoSasa siwazungumze yaishe ndio kufanyiana hivyo kama nyie mtaishi milele tendeni haki jaman.
@
@gideontebuye53293 years agoAsikali wanakamata watu hata corona hawaogopi.
Related videos for KESI YA MBOWE: WAFUASI WA CHADEMA WAKAMATWA NA POLISI, WALIBEBA MABANGO:
wanatangaziwa hakuna maandamano wao wanafanya, hata mbowe hawamjui vizuri
naiombo polisi utowe ushahidi hadharani wa huo mimi namjua mbowe anafanya mambo ya ovyo sana ila anajifichia kwenye siasa. ...Expand
hekma ya mbinguni inahitajika sana. Eee mwenyezi mungu tubariki na kutuokoa watoto wa tz. 1
naona kama kweli unauchungu na mbowe ni sawa ila kama unampenda ki u kweli nenda mahakamani na ushahidi wako ili umtetete tu mimi naona aijakaa vizuri sana. Na njia ya mwongo waswahili walisema ni fupi lazima kweli hapo kuna shida kwa asilimia 100% kwa mbowe au serikari sasa
wewe na mimi hatujui tuache wenye ushahidi tuone. Ukiumizwa mfano hapo ndio itasaidia nini? Mbowe kuachiwa au?. ...Expand 6