Watu wengi wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la kutoa harufu isiyoridhisha kwenye vinywa vyao huku wengine wakikabiliwa na magonjwa mbalimbali ya kinywa.
Nini chanzo cha matatizo haya na nini kifanyike kujikinga nayo.
Msikilize Dkt. Huzeia Teherali wa hospitali ya Aga Khan