Duration 32:17

Nyota ya Punda | Fahamu kila kitu kuhusu nyota hii | Kondoo | Aries Zodiac

22 336 watched
0
263
Published 6 Jun 2021

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Rakimsspiritual@gmail.com WhatsApp: +255 783 930 601 NYOTA YA PUNDA: ARIES Hii ni Nyota ya kwanza katika mlolongo wa Nyota 12. Nyota hii ni kwa watu waliozaliwa kati ya Tarehe 21 March hadi 20 April au wenye majina yalioanza na herufi A au M na DH mfano Dhul Kifli. Namba yao ya bahati ni 1,9,13 na 25. Asili yao ni Moto, nayo ni nyota dume. (dume ikiwa na maana ya chanya/sio jinsia za wenye nyota) Usawa wake ni Imara (UFALME) Ni nyota ya utendaji,yenye nguvu,inafaa na yenye msukumo na nyota yenye matumaini,iliyowazi katika mabadiriko na hali mpya. SAYARI YAO: ni Mars (Mariikh) Marikh kwa historia za kale ni kuwa ni sayari ya Kiumbe wa vita,vurugu,uovu na ubaya. katika elimu ya nyota hii husimama kama sayari ya hamu/shauku na upinzani huleta hisia za ajali na humiliki moto na Hatari. ALAMA YAKE: Kondoo dume: mkali,mkorofi,kingono,mwenye uwezo wa kupanda chart juu zaidi. TALASIMU YAKE: Picha inaYOwakilisha pembe na pua ndefu ya kondoo dume. na pia inakuwa na muonekano wa nyusi na pua ya uso wa mwanadamu na kichwa ni sehemu kuu ambayo sheria ya Punda inatawala yaani halmashauri ya kichwa). maana nyingine talasimu yake ni mfano wa mwezi uliokatwa katikati na kuwa vipande viwili vilivyo karibiana ambayo inaonyesha ishara yake ya utawala na uongozi wa nyota hii. NENO LAKE TAWALA: MIMI hili ndilo neno tawala la Punda yaani umimi kwanza Maarifa makuu kabisa ya punda ni ujasiri Mara nyingi ni mtu mwenye ubinafsi wake haijarishi ataficha na kukataa kiasi gani. Ni mbinafsi. NYOTA INAYOENDANA ZAIDI: Mizani au Libra Punda ni nyota ya umimi kwanza watu wenye nyota hii wanatabia ya ubinafsi zaidi na wanaweza kuwa ni watu ambao wenye kuangalia maslahi yao wao tu. Ambapo Mizani ni kinyume cha Punda ni nyota yenye kuweza kuing'arisha na ushirikiano na wenye nyota ya mizani hujihisi hawajakamilika bila ya mwenza au mpenzi. nyota hizi mbili zikiungana basi huendana vizuri zaidi basi huwa na nguvu maradufu, na hasa wakiungana kimapenzi basi hung'ara zaidi. SEHEMU YA MWILI UNAYOTAWALIWA NA PUNDA: Kichwa: Watu wa punda hukabiliwa na maumivu ya kichwa, na wanakabiliwa na majeraha madogo kuzunguka kichwa na uso wengi utawakuta na alama usoni SIKU YAKE NZURI: Siku nzuri katika wiki kwa wenye nyota hii ni Jumanne MALAIKA: Malaika anayetawala au kuangalia nyota na sayari yake anaitwa Izrael, ambaye ni malaika mtoa roho za watu, JINI WA NYOTA HII: Jini wa nyota na sayari hii anaitwa Abuu Muhriz al Hammar au Mwenye mavazi mekundu. SHETANI WA NYOTA HII: Phaleg kiswahili wanamtambua kama SUBIYANI pia ni mwenye mavazi mekundu. MANUKATO Manukato au Perfume yao ni Marashi ya Asali (Honeysuckle) KIPAJI CHA PUNDA Wenye nyota hii wana kipaji cha Hisia, ni rahisi kwao kutafsiri jambo lolote, wanaweza kwa urahisi kutafsiri ndoto, vilevile wana kipaji cha kusikia sauti ndani ya kichwa kuhisi jambo litakalotokea na ikawa kweli. Ikiwa watafanya Taamuli (Meditation) kwa dakika ishirini wakati wa usiku au kitu cha kwanza wanapoamka asubuhi, akili na miili yao itatulia na watapata ufunuo wa mambo mengi sana. TABIA ZAO KIMAUMBILE NA KIMAPENZI: Punda ni wakali na wachangamfu, wenye hisia na wanaoweza kujieleza wakiwa na hali ya kufanya chochote. “SASA HIVI” hayo ndio mambo wanayotaka kusikia. Ni watu wasiokuwa na subira, kila kitu kinafanyika kwa msukumo na haraka haraka. Ni viongozi majasiri ambao hawaoni karaha kuchukua majukumu, wakati wote wanajiona kwamba “Wanajua sana”. Kimapenzi Punda ni watu wenye mapenzi motomoto, tatizo lao kubwa hawapendi kusikiliza ushauri wa kimapenzi, na hawakubaliani na mambo nusu nusu. Ni watu wenye kutegemea mazuri wakati wote na hawakubali kushindwa. Hupenda kukimbilia katika mapenzi bila kufikiri, wanapohisi wamepata mpenzi wa kweli. Ni wepesi kuvutwa katika mapenzi na wenye miamko ya ghafla au misukumo ya kiwazimu ambayo wakati mwingine inawafanya waonekane wapumbavu. KAZI NA BIASHARA ZA PUNDA : Wote wake kwa waume waliozaliwa katika nyota hii wana kipaji cha asili cha uongozi na wasiwasi wa kushindwa katika utekelezaji. Kazi zinazowafaa ni Jeshi, Kazi za Uokoaji, Michezo, Uuzaji, Upasuaji, Kufundisha (Ualimu), Masuala ya Fedha. Biashara za kubadili fedha,Biasharaza kuuza vifaa vya michezo, biashara za vifaa vya shule au maduka ya madawa. MAVAZI NA MITINDO: Mavazi yao yanatakiwa yawe ya mitindo mikali na tofauti, yenye kuchangamsha na Kusisimua ya rangi nyekundu.Vitambaa vyao viwe vya sufu (wool), Fulana, na vitambaa vilivyo na kishiwa kwa nyuzi za rangi ya chuma. Wasikose kuvaa kofia, wanawake wapendelee sana kuvaa na Suruali Rangi yao ya Bahati ni Nyekundu na maalumu zaidi kwa maana huwakilisha moto ambao ni asili ya Punda, Rangi zinazowafaa kwenye Nyumba au Vyumba vyao ni rangi nyekundu (Scarlet). Rangi zinazowapa uwezo wa mapenzi, mahaba na furaha ya kujumuika na watu ni rangi za kijani na kijani kibichi. Rangi inayowapa uwezo wa kifedha ni rangi ya Kijani

Category

Show more

Comments - 195
  • @
    @JimmyKirumbi-ys4cz7 months ago Daah yaani hujakosea hata kimoja pongezi kwako. 2
  • @
    @Angeljoel-xn1jx4 months ago Naitwa ester mama angu anaitwa elizabeth mi nimezaliwa tareh 26. 4. 1998.
  • @
    @manmkwanyu35257 months ago Mimi naitwa masudi mama angu jamila nimezaliwa mwaka 1998 tarehe 21 mwezi wa 7 je nyoota angu nyota gan kiongozi wangu asantee.
  • @
    @user-mk7hk5dp2o5 months ago Naitwa abdull rahman nimezaliwa 2006 october 30 na mamangu anaitwa zeinab nyota yangu n gani tafadali kaka. 1
  • @
    @user-fh7sp6kz3f4 months ago Mim naitwa mwanahamisi mama yangu anaitwa mariam.
  • @
    @user-fh7sp6kz3f4 months ago Mim naitwa mwanahamisi mama yangu anaitwa mariam nimezaliwa 12. 9. 1991.
  • @
    @stellafiyao49455 months ago Mm naitwa felix mama yangu anaitwa sophia nataka kuijua nyotayangu.
  • @
    @boscodickson10142 years ago Naitwa bosco mama angu a naitwa mbusuro naomba nimezaliwa tarehe 9 mwezi 12.
  • @
    @rukaiyaothmani53442 years ago Asalam aleykm natumai umzma mi naitwa mwanakombo nimezaliwa mwezi 4 tarehe sifahamu mana sikuwai kuwai kuishi na family yangu naitaji kufahmu.
  • @
    @hawapili-in5fh5 months ago Nimezaliwa tarehe 7/10 mama yangu anaitwa fatuma mimi naitwa hawa.
  • @
    @swalleykasereka68517 months ago Mimi wazazi wangu wamecha sahau siku zangu zakuzaliwa ninaweza kujuwa nyotaangu kivipi.
  • @
    @VictorMulanyalast year Mimi ni victor ochieng patricia kipaji yangu ni gani.
  • @
    @amarinesirleem38365 months ago As naitwa abdull rahman na mamangu anaitwa zeinab nimezaliwa october 30, 2006.
  • @
    @machibyasululu6104last year Naitwa raphael, mama yangu anaitwa veronica nimezaliwa tarehe 31/12/1995, bado sijajua nyota yangu.
  • @
    @sophiamathias13244 months ago Habar. Mimi naitaji jina la io dawa umesema kisti, au kisiti. Io kama mizizi.
  • @
    @lucymuthoni48863 years ago Mimi naitwa muthoni mama yangu anaitwa irumbi. Naomba kujua nyota yangu. 5
  • @
    @HudherAlii9 months ago Naomba kujua bc mm jina hudhaif jina la mzaz kidu naomba kujua nyota yangu ipi tareh ya kuzawaliwa tateh30/9/.
  • @
    @MohamedSarahani-gk6jx5 months ago Ulichosemaa kweli tupu, sasaa mimi nahitajii petee ambayoo inaendanaa naa hiyo nyotaa yaa pundaa ntaipatajee kutokaa kwako.
  • @
    @adjaibrahim21742 years ago Shukurani kaka yangu nimekupata 100 kwa 100. 1
  • @
    @hellenmwenda49712 years ago Mimi jina langu ni mwenda lakuzaliwa na helen ni lakubatizwa nilizaliwa tarehe 13 /9/1982 nyota yangu ni ipi mama jina lake k. 1
  • @
    @user-ht3if3nu1s3 months ago Mimi naitwa shija kulwa mama yangu anaitwa katalina nimezaliwa 2 tarehe sijui mwaka 1991 sijui nyota yangu. 1
  • @
    @adventjulius48222 years ago Naomba msaada wa ufafanuzi wa nyota yangu.
  • @
    @milongojumanne78342 years ago Naitwa milongo, mama yangu anaitwa tatu nimezaliwa july 10, nyota yangu ni ipi. 2
  • @
    @nahishakiyeassuman55412 years ago Mimi naitwa athumani mama yangu amina apo nyota yangu ipi. 1
  • @
    @user-yu2ep5js1k2 years ago Mm naitwa mwanasiti mama yngu mwanaulu nlizaliwa 8 mwez wa 10. 1991. 1
  • @
    @adventjulius48222 years ago Advent tarehe 17/7/1994 jna la mama twelwike.
  • @
    @prettymillah-ls7uc8 months ago Mimi amina nime zaliwa 19/10/2001 mama yang joha.
  • @
    @jumahagai90133 years ago Mim ni amina mama yangu ni asha naomba unijuze.
  • @
    @arrestedpamba63043 years ago Mkuu naomba kujua kuhusu mlango wangu wa nne.
  • @
    @allymloti7738last year Mimi naitwa ally mama asha nyota yangu ipi.
  • @
    @user-um9rd2sw1v8 months ago Mm nimezaliwa 6/8 nyota yangu ipi rafiki.
  • @
    @mariethadavid81433 years ago Naitwa marietha mama yangu anaitwa anusiatha nimezaliwa tarehe 14/01/1997 naomba unisadie kuijua vyota yangu.
  • @
    @dopking38733 years ago Mkuu mimi nataka kujua nyota yangu naitwa yasini jina la mama zainabu.
  • @
    @subirahussein16303 years ago Jina langu subira mama yangu zakia tarehe ya kuzaliwa 25/05/2001 je nyota yangu ni yepi.
  • @
    @dopking38733 years ago Ila tarehe halisi niliozaliwa siifahamu.
  • @
    @juniaallbright9453last year Mimi naitwa, bonfils albert, mama yangu anaitwa adella daniel nilizaliwa 02-05-1998.
  • @
    @clauzeraugustine97052 years ago Naitwa clauza nimezaliwa 27/7 mama angu anaitwa nuru.
  • @
    @hamidamrisho8322 years ago Naitwa aisha mama yangu anaitwatar 25/2/1997. Je nyota yangu n ipi.
  • @
    @mercymerab74213 years ago Mimi n mercy natakujua nyota yangu jina la mama n rose asante. 1
  • @
    @deusimwaka84073 years ago Naitwa amedeus mama yangu marselin nimezaliwa tareh 10. 1. 2002 ni ya nn nyota yangu samahan.
  • @
    @TumainiJosephatimwasile11 months ago Samahani kama mtu ajui ta rehe aliozaliwa tareh mwez mwakanyota yangu ilamajina yawaza zazi siyajui yote kamili naitwa tumaini. Josephati mwasile baba yangu anaitwa josephati mwasile na mama yangu anaitwa edina juliasi nakuomba sana lafiki. ...Expand
  • @
    @antoniavictorin60063 years ago Kaka habari mm naitwa antonia mama yangu anaitwa yolanda nilizaliwa 04/01/1997 naomba uniangalizie nyota yangu inasemaje. 1
  • @
    @taifatvonline72333 years ago Mimi jina ni deodatus na mama yangu ni chrstina nimezaliwa 4/4/1993.
  • @
    @sarahmbunju4123 years ago Naitwa asha mama angu anaitwa mchanga nimezawa tarehe 21/2 je nyota yangu ni ipi asante.
  • @
    @HosianaGodfrey-wo9nf8 months ago Naitwa hosiana mama yangu ni elhaika nimezaliwa december 1 1991 je mim natakiwa mme wangu awe na myota ipi coz nina mahusiano na mwenye nyota ya punda.
  • @
    @beautyibrahim84283 years ago Mimi naitwa mary nimezaliwa tar 25/9/1994 mama yangu anaitwa ruth msaada plz.
  • @
    @AlfredFrance-tu7jglast year Kk nimeji funza ilanapenda kuji sibitsha kama nikweli mm ninanyota yapundanikweli.
  • @
    @mosesjohn41203 years ago Bro me naitwa moses mama ni sarah limezaliwa tareh 29/09/2002 nyota ynag ni ip bro. 1
  • @
    @user-zp6ct5bs8t6 months ago Naomba namba zako za whatsapp nikutafute.
  • @
    @angelaalphonce35993 years ago Mimi naitwa angela, mama yangu ni elizabeth na nimezaliwa tareheyangu ni ipi? 1
  • @
    @user-lv6oo9dx3t10 months ago Pete yenye vito vya rangi gani wenye nyota ya punda.
  • @
    @mariambui5713 years ago Umesema ukweli kabisa kuhusu nyota yangu punda. 1
  • @
    @marthamwanyasi7449last year Mimi naitwa martha mama yangu anaitwa tunganeghe nimezaliwa tarehekujua nyota yangu.
  • @
    @innocenthonest80572 years ago Mm nyota yangu no ya kwanza ya punda mambo yangu ayaendi kabisa na napenda sana kubeti.
  • @
    @amirikaboka10653 years ago Kaka naitwa amiri mama yangu anaitwa rehema nimezaliwa tarehe 29/12/1995 nakuomba unijuze kusu nyot yang lang yak usika ya nyeot yang.
  • @
    @zenahmaloba23 years ago Mimi naitwa zena mama yangu anaitwa neema, nimezaliwa 2/5. Je nyota yangu niipi?
  • @
    @elialussingu4612 years ago Naitwa elia, nmezaliw january 02, je nyota yangu niip?
  • @
    @mariamomar79843 years ago Naitwa maryam nimezaliwa 10/11 mama yangu mwanzo alikua anaitwa katarina aliposilimu akaitwa amina nilikua naomba unambie nyota yangu.
  • @
    @aminafrancismwandu5789last year Umeni weza hakuna kilicho kosa ndivonilivyo.
  • @
    @emiliananaombakulizanimeot36583 years ago Naitwa emiliana mama yangu aitw fausta nyota yangu nipi. 1
  • @
    @cristerthomasy4978last year Naitwa kista nimezaliwa 5/02/20 mam yangu anaitwa beatrice je nyota yangu ni ipi!
  • @
    @adorablesein2 years ago Naitwa agnes mama yangu anaitwa joyce nimezaliwa 22/11/1992 usiku wa kuamkia jumamosi nyota yangu ni ipi?
  • @
    @azizaferuzi58563 years ago Mimi naitwa aziza mama yangu anaitwa hawa tarehe yangu 28/8 /1992 je ni nyota gani.
  • @
    @janethjames65142 years ago N aitwa mageni lingine salome yote nimepewa na wazazi wangu mama yangu doto nisaidie please sjui chochot.
  • @
    @official_albertina3 years ago Nitasema aksante and jina langu ni albertina ila mama anaitwa everina nime zaliwa may 5/2003 nyota yanguu ni ipii?
  • @
    @abdullahiabdikarim37102 years ago Unieleze nyota yangu ni ipi? Kwa jina naitwa abdikarim, na jina la mamangu anaitwa hawa.
  • @
    @aksamnyazi50644 months ago Mimi naitwa aksa mama yangu emi nimezaliwa tarehe 10/08/1994 nyota yangu ni ipi?