Duration 6:39

MAMA SAMIA AFUNGUKA MAZITO

37 710 watched
0
164
Published 13 Feb 2020

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa wanaCCM ambao wameanza kujipitisha majimboni kwa lengo la kuwania ubunge kwenye majimbo hayo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Mama Samia ametoa onyo hilo leo Februari 13 wakati wa maadhimisho ya miaka 43 katika mkoa wa Dar es Salaam, yeye akiwa mlezi wa chama na mgeni rasmi wa maadhimisho hayo.

Category

Show more

Comments - 30